Psalms 88:10-12

10 aJe, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?
Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?

11 bJe, upendo wako hutangazwa kaburini,
uaminifu wako katika Uharibifu?
Yaani Abadon.

12 dJe, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,
au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?
Copyright information for SwhNEN